Podcast Episodes
Back to SearchWakenya wafunguka kuhusu umuhimu wa siku ya Mashujaa
Wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walijumuika katika bustani ya Australia Botanic Garden kwa maadhimisho ya siku ya Mashujaa.
2 years, 8 months ago
Taarifa ya Habari 24 Oktoba 2023
Wa Australia ambao wamekwama mjini Gaza, wamesema wameshauriwa mara kwa mara waende katika kivukio cha mpaka wa Rafah na Misri, hata hivyo walipofika…
2 years, 8 months ago
Penina aweka wazi umuhimu wakuzingatia afya yako ya akili
Ugonjwa wa afya ya akili una endelea kuwa kero kwa watu na jumuiya nyingi kote duniani.
2 years, 8 months ago
Peter afunguka kuhusu maandalizi ya sherehe ya Mashujaa Day Victoria
Wakenya kote duniani wana jumuika katika hafla za siku yaku waenzi Mashujaa wao.
2 years, 8 months ago
Taarifa ya Habari 20 Oktoba 2023
Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali safari yakuenda Israel, kabla ya ziara ya mazungumzo ya pande mbili Marekani wiki ijayo Oktoba 23, waka…
2 years, 8 months ago
Blaise "Sijawahi ona uchaguzi ambao unaongozwa kwa taarifa za uongo kama huu wa Ndio au La"
Kiwango cha ushindi wa kampeni ya 'La' katika kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wakwanza Bungeni, kime zua gumzo kote nchini.
2 years, 8 months ago
David afunguka kuhusu manufaa ya kuwa mwanachama wa Men's Cave Forum
Wanaume wenye asili ya Kenya katika jimbo la Victoria, wali anzisha kundi kwa jina la Men's Cave Forum, ambalo hutumiwa kushughulikia maswala mbali m…
2 years, 8 months ago
Taarifa ya Habari 17 Oktoba 2023
Serikali ya shirikisho imesema inaendelea kufuatilia hali inayo endelea kudorora mjini Gaza, wakati Israel ina andaa kufanya mashambulizi ya nchi kav…
2 years, 8 months ago
Kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni ime isha kwa matokeo ya 'La'
Wa Australia wame kataa pendekezo lakuweka sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, baada ya kampeni ya La kushinda katika majimbo yote sita p…
2 years, 8 months ago
Taarifa ya Habari 16 Oktoba 2023
Wa Australia wengine 250 wame hamishwa kutoka Israel, wakati hali ya usalama nchini humo inaendelea kudorora.
2 years, 8 months ago