Podcast Episodes

Back to Search
Taarifa ya Habari 9 Mei 2024

Serikali ya Australia ita imarisha miradi ya gesi katika hatua yakutoa suluhu kwa ongezeko la mahitaji pamoja nakusaidia mchakato wakuhamia kwa uzali…

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo

Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 7 Mei 2024

Serikali imesema ita kuwa na akiba ya bilioni moja ya dola katika bajeti ya shirikisho ijayo, kwa kukata matumizi ya huduma ya umma ya wakandarasi, w…

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Understanding the profound connections First Nations have with the land - Kuelewa uhusiano wa kina wa Mataifa ya Kwanza na ardhi

The land holds a profound spiritual significance for Aboriginal and Torres Strait Islander peoples, intricately intertwined with their identity, belo…

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"

Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Afrika Kusini ya adhimisha mwisho wa kumbukumbu ya apartheid wakati wa ongezeko ya kutoridhika nchini humo

Africa Kusini ina adhimisha miaka 30 tangu uchaguzi wakwanza wayo waki demokrasia ambapo kila raia wa Afrika Kusini aliweza piga kura.

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 3 Mei 2024

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema waendesha mashtaka wa shirikisho walifanya uamuzi mubaya kuruhusu dhamana kwa mfungwa wa uhamiaji, ambaye baadae…

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
MCA Tricky "Nili ingia katika ucheshi kujibamba"

MCA Tricky ni mmoja wa wacheshi maarufu nchini Kenya, kazi zake zina endelea kuwavutia mashabiki wengi.

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 30 Aprili 2024

Ripoti mpya kuhusu mauaji nchini Australia, imeonesha kuwa idadi ya wanawake ambao wame uawa na wapenzi wao wa sasa au wazamani, imeongezeka kwa asil…

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode
Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki

Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.

2 years, 2 months ago

Short Long
View Episode

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us