Episode Details
Back to EpisodesBunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo
Published 2 years, 2 months ago
Description
Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.