Podcast Episodes
Back to SearchTaarifa ya Habari 20 Mei 2024
Serikali ya Albanese imetetea hatua zakutoa afueni kwa gharama ya maisha, licha ya bajeti ya shirikisho kuipa serikali jeki ndogo katika kura za maon…
2 years, 1 month ago
Ukatili dhidi ya wanawake waiweka serikali ya Tanzania chini ya shinikizo
Watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania wameitaka serikali ya nchi hiyo kubuni sheria maalum kwa ajili ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake…
2 years, 1 month ago
Taarifa ya Habari 17 Mei 2024
Kupungua kwa urasimu, bajeti iliyo rahisishwa, na kupungua kwa uhamiaji ni sehemu muhimu ya mpango wa chama cha mseto kwa Australia.
2 years, 1 month ago
Bajeti yashughulikia maswala muhimu kwa jumuiya zatamaduni nyingi ila maelezo ya ziada yana hitajika
Jamii za wahamiaji na wakimbizi zimekaribisha mipango katika bajeti ya shirikisho ila, wame sema maelezo zaidi yanahitajika kuhusu mikakati iliyo len…
2 years, 1 month ago
Jinsi ya kuomba kazi
Unapo ona tangazo la kazi linalo kuvutia, kuelewa hatua zinazo fuata ni muhimu.
2 years, 1 month ago
Namna yakupata leseni yakuendesha gari
Kuendesha gari hutoa uhuru na huongeza fursa zakupata kazi ila, shughuli hiyo huja pia na wajibu mkubwa waku hakikisha usalama barabarani.
2 years, 1 month ago
Taarifa ya Habari 14 Mei 2024
Mweka hazina Jim Chalmers amesisitiza bajeti atakayo tangaza inahusu kuweka shinikizo yakupunguza mfumuko wa bei.
2 years, 1 month ago
Watu saba wauawa kwa shambulizi la bomu Mkoani Kalehe DRC
Hali ya usalama inaendelea kuwa mbaya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
2 years, 1 month ago
Taarifa ya Habari 10 Mei 2024
Mamia yawa fungwa wa uhamiaji wanaweza achiwa huru kutegemea na hukumu ya mahakama kuu, inayo tarajiwa kutolewa leo kwa changamoto yakisheria iliyo w…
2 years, 2 months ago
Uchunguzi wa Seneti waunga mkono mswada tata wa uhamisho
Uchunguzi wa Seneti umependekeza serikali ipitishe mswado wake wenye utata, utakao fanya iwe rahisi kuwafukuza nchini walio ndani ya vizuizi vya uham…
2 years, 2 months ago