Podcast Episodes
Back to SearchTaarifa ya Habari 2 Agosti 2024
Waziri Mkuu amesema maoni ya watu wanao ishi na ulemavu yanasikizwa, kufuatia ukosoaji ulio ibuka kufuatia jibu la serikali kwa tume yakifalme kwa ul…
1 year, 11 months ago
Jeff "unaweza dhani ume mdhuru mtu mmoja tu, kumbe ume waathiri wengi zaidi"
Hadithi halisi za wahanga wa mauaji ya 1994 nchini Rwanda, zime zinduliwa katika jumba la sanaa mjini.
1 year, 11 months ago
H_art the Band kuhusu tamasha ya Australia
Kundi la H_art the Band kutoka Kenya, lili kuwa mjini Sydney kwa tamasha yao ya miji 5 mikuu ya Australia.
1 year, 11 months ago
Taarifa ya Habari 12 Julai 2024
Polisi wadai baba ambaye amefunguliwa mashtaka ya mauaji ya watoto wake watatu, inadaiwa walifunga milango kuwazuia watu kuondoka ndani ya nyumba ili…
1 year, 11 months ago
Sanaa inayo sherehekea uhusiano wa watu wa Mataifa ya Kwanza na bahari
Ni wiki ya NAIDOC, wakati wakusherehekea historia, utamaduni na mafanikio ya watu wa Mataifa ya Kwanza.
1 year, 11 months ago
Taarifa ya Habari 11 Julai 2024
Jumuiya katika maeneo ya magharibi Melbourne, zime ambiwa kuepuka kiwanda cha kemikali ambako moto ulituma moshi wenye sumu angani mjini humo baada y…
2 years ago
Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu"
Muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya, umevutia upinzani mkubwa kutoka wakenya wanao ishi Australia.
2 years ago
Umuhimu wa itifaki zawa Australia wa asili ni nini kwa kila mtu?
Kuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait wa Australia, ni hatua muhimu kwa kuelewa na kuwaheshimu wamiliki wa …
2 years ago
Taarifa ya Habari 9 Julai 2024
Wakaaji wa Alice Springs wame amka baada ya usiku wa kwanza wa amri ya kuto toka nje ambayo ili wekwa kwa ajili yakupunguza uhalifu.
2 years ago
Jinsi yakufanya rejesho lako la ushuru Australia
Kama wewe ni mkaaji wa Australia kwa madhumuni ya ushuru, kuanzia Julai 1, ambayo ni mwanzo wa mwaka wa fedha, lazima uweke wazi mapato yote uliyopat…
2 years ago