Podcast Episodes
Back to SearchTaarifa ya Habari 20 Juni 2024
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakani leo kwa sababu ya dai la tisho la bomu lililo funga sehemu za mji wa Melbourne jana Jumatano mchana.
2 years ago
Patrick 'nimuhimu kwa wakimbizi kuja Australia wakiwa na leseni yakuendesha gari'
Maadhimisho ya wiki yawakimbizi yalifanyika kote nchini Australia.
2 years ago
Taarifa ya Habari 18 Juni 2024
Waziri mkuu wa China Li Qiang ameondoka Canberra baada ya siku yakihistoria ya mazungumzo yakidiplomasia ndani ya bunge la taifa.
2 years ago
Haki zangu zakidini zina lindwaje kazini?
Nchini Australia, sheria dhidi ya ubaguzi katika sehemu za kazi kwa misingi yakidini hutofautiana katika mamlaka zote.
2 years ago
Taarifa ya Habari 17 Juni 2024
Waziri wa kwanza wa China Li Qiang amekaribishwa ndani ya bunge la taifa, hiyo ikiwa ni ziara ya kwanza ya waziri wa kwanza wa China katika muda wa m…
2 years ago
Wafanyakazi wapato la chini kuongezewa mishahara kuanzia Julai 1
Ma milioni yawa Australia watapata nyongeza ya asilimia 3.75 kwa mshahara wao.
2 years ago
Taarifa ya Habari 14 Juni 2024
Maelfu ya wahamiaji waliokuwa wakitarajia kujisajili katika vyuo vya Australia, hawata weza tena kuomba viza wanazo hitaji.
2 years ago
Uhaba wa fedha wakwamisha shughuli za taasisi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
Taasisi kadhaa za Jumuiya ya Afrika Mashariki, zimejipata katika hali ngumu baada ya bajeti zao kuathirika sana.
2 years ago
Iyanii "fahari yangu imekuwa kubadilisha maisha ya wazazi wangu"
Iyanii ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Kenya, anaye zidi kuwa maarufu kila kukicha.
2 years ago
Taarifa ya Habari 11 Juni 2024
Serikali ya Queensland inapanga kuwa na hatua zakupunguza shinikizo ya gharama ya maisha licha yakutarajia nakisi ya bajeti.
2 years, 1 month ago