Podcast Episodes

Back to Search
Elewa sheria za chanjo za watoto nchini Australia

Kuhakikisha mtoto wako anachanjwa humlinda, na inafaida kwa kila mtu wa karibu yake, wataalam wamesema.

1 year, 7 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 15 Novemba 2024

Australia ime unga mkono azimio la Umoja wa Mataifa, lakutambua mamlaka yakudumu ya watu wa Palestina kwa mara ya kwanza katika miongo mbili.

1 year, 7 months ago

Short Long
View Episode
Jinsi yakupata akaunti ya benki inayo kufaa

Kama una kazi, unapokea mafao ya serikali au unataka lipa bili zako kwa urahisi, utahitaji akaunti ya benki. Unaweza hitaji hata zaidi ya akaunti moj…

1 year, 7 months ago

Short Long
View Episode
Barua ya marekebisho ya katiba yawasilishwa Bungeni DRC

Bunge la DRC limepokea barua ya kukagua muda wa muhula wa rais na mageuzi ya mahakama ya Kongo.

1 year, 7 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 12 Novemba 2024

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametoa pongezi kwa mkongwe wa vita vya Vietnam Richard Norden, ambaye amepewa tuzo baada ya kufa ya ngazi ya juu zaidi y…

1 year, 7 months ago

Short Long
View Episode
Dj Mozz "Nataka kipaji changu kinifikishe katika tamasha zakimataifa"

Dj Mozz ni mmoja wa vijana, wenye jina kubwa katika sekta ya burudani nchini Australia.

1 year, 7 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 8 Novemba 2024

Waziri Mkuu Anthony Albanese ame sisitiza umuhimu wakutetea demokrasia katika hotuba yake, kwenye kongamano la wabunge wa jumuiya yamadola.

1 year, 8 months ago

Short Long
View Episode
Harris au Trump? wamarekani watoa hukumu yao

Takwimu kutoka tume ya uchaguzi ya Marekani, zina onesha watu wengi zaidi wame piga kura mwaka huu 3wa 2024 kuliko katika chaguzi zingine katika hist…

1 year, 8 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 5 Novemba 2024

Wanaharakati wa Mataifa ya Kwanza wana muhamasisha Kiongozi wa Queensland David Crisafulli, abatilishe uamuzi wake wakufuta uchunguzi wakusema ukweli…

1 year, 8 months ago

Short Long
View Episode
Matt "tunataka mifumo ya kupata huduma irahisishwe"

Viongozi wa makundi mbalimbali yawa Kenya wanao ishi mjini Sydney, Australia wanajiandaa kukutana nawa bunge nama seneta kutoka Kenya.

1 year, 8 months ago

Short Long
View Episode

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us