Podcast Episodes
Back to SearchBw Chumba "tukishikana mikono itatupa urahisi kufanya vitu vikubwa pamoja"
Viongozi wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi New South Wales wanajiandaa kuwasilisha vyeti vya usajili wa Jumuiya kwa wanachama wao jioni ya Ijumaa 2…
1 year, 6 months ago
Taarifa ya Habari 20 Disemba 2024
Eneo la kusini mashariki Queensland, lina jiandaa kukaribisha afueni ya hali ya hewa baada ya dhoruba kusababisha barabara kufungwa, umeme kupotea na…
1 year, 6 months ago
Mchungaji Mgogo "tunza ujana wako kwa ajili ya future yako"
Mchungaji Daniel Mgogo ni maarufu sana katika mitandao yakijamii, kwa jinsi anavyo huburi.
1 year, 6 months ago
Taarifa ya Habari 17 Disemba 2024
Mawaziri wa kigeni na ulinzi wa Uingereza na Australia wamefanya mkutano wao wa kila mwaka ((AUKMIN)) mjini London ambako amekubali kuimarisha zaidi …
1 year, 6 months ago
Mahakama yazima ndoto ya Edgar Lungu
Mahakama ya katiba ya Zambia imesikiza ombi la Rais mstaafu wa Zambia, Edgar Chagwa Lungu lakupewa ruhusa yakuwania urais wa taifa hilo.
1 year, 6 months ago
Taarifa ya Habari 13 Disemba 2024
Serikali ya Albanese imetangaza mfumo mpya waku lazimisha mitandao yakidigitali yakufidia vyombo vya utangazaji vya Australia kwa matumizi ya habari …
1 year, 6 months ago
Kuelewa uhusiano wa kina wa Mataifa ya Kwanza na ardhi
Ardhi ina umuhimu mkubwa wa kiroho kwa wa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait, iliyo unganishwa kwa ustadi na utambulisho wao, kuwa sehemu na h…
1 year, 7 months ago
Taarifa ya Habari 10 Disemba 2024
Waziri wa Huduma za Serikali Bill Shorten ametangaza kuwa shirika la Services Australia, lime tekeleza karibu nusu ya mapendekezo yote kutoka Tume ya…
1 year, 7 months ago
Kiongozi wa Queensland atetea mabadiliko ya haki ya vijana yenye misimamo mikali
Kiongozi wa Queensland na Mwanasheria Mkuu wame tetea mageuzi ya haki ya vijana yenye utata ya jimbo hilo, licha ya ukosoaji kutoka wadau na Umoja wa…
1 year, 7 months ago
Taarifa ya Habari 6 Disemba 2024
Kura mpya ya maoni inadokeza kiongozi wa upinzani Peter Dutton, ana elekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu ujao.
1 year, 7 months ago