Podcast Episodes

Back to Search
Taarifa ya Habari 15 Aprili 2025

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali madai kuwa sera ya nyumba ya chama chake, ita ongeza bei za nyumba.

1 year, 2 months ago

Short Long
View Episode
Msamaha wa Rais Tshisekedi kwa wafungwa wafanya raia wa Rubero kuishi kwa wasiwasi

Raia wanao ishi Butembo na miji ya karibu, wamesema wanaishi kwa hofu baada ya zaidi ya wafungwa 100 kuachiwa huru.

1 year, 2 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 11 Aprili 2025

Waziri Mkuu amekabiliana na maswali kuhusu uwezekano wa mkataba wa manowari ya Australia na Marekani pamoja na Uingereza, kufuatia utoaji wa ushuru w…

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
Zaidi ya vitabu: Jinsi maktaba hujenga jumuiya

Maktba za umma za Australia ni mahali maalum. Ndio, huwa zina kuruhusu ukope vitabu bure ila pia, zina toa utajiri wa miradi na huduma, bure pia na h…

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 10 Aprili 2025

Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya …

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
SBS Learn Eng pod 68 Kujadili taarifa za habari

Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu taarifa za habari?

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
Sean MMG "mitandao yaki jamii imefanya iwe rahisi kwa vijana kama sisi kutokea katika muziki"

Wasanii maarufu kutoka Kenya; Sean MMG, Ssaru na Tipsy Gee walitembelea studio yet hivi karibuni wakati wa ziara yao ya Australia.

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 8 Aprili 2025

Serikali ya Albanese imesema uwekezaji wa serikali wa $1 bilioni moja inatambua pengo muhimu la wafanyakazi katika huduma ya afya ya akili inayo stah…

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
Uchaguzi Mkuu 2025: Dutton afuta sera yakumaliza mpangilio wakufanyia kazi nyumbani

Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton, ame tupa nje mpango wake waku walazimisha wafanyakazi wa umma kurejea ofisini aki kiri sera hiyo ili…

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 7 Aprili 2025

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ya shirikisho ina wasiwasi kuhusu athari za msukosuko wa kifedha, kufuatia ushuru wa marekani ulio tang…

1 year, 3 months ago

Short Long
View Episode

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us