Episode Details
Back to EpisodesTaarifa ya Habari 11 Aprili 2025
Published 1 year, 3 months ago
Description
Waziri Mkuu amekabiliana na maswali kuhusu uwezekano wa mkataba wa manowari ya Australia na Marekani pamoja na Uingereza, kufuatia utoaji wa ushuru wa Marekani ambao ume tikisa dunia nzima.