Podcast Episodes
Back to SearchTaarifa ya Habari 16 Mei 2025
Kiongozi wa Upinzani wa Shirikisho Sussan Ley, amesema kuungana tenana wanawake itakuwa kipaumbele chake kama kiongozi wa Upinzani wa shirikisho.
1 year, 1 month ago
Jeremiah "wahafidhina wanastahili acha kutumia Biblia kutafuta kura zetu"
Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi Melbourne, Victoria wame kuwa waki kabiliana na wakati mgumu katika kipindi cha kampeni za ucha…
1 year, 1 month ago
Taarifa ya Habari 13 Mei 2025
Sussan Ley ame chaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Liberal. Bi Ley alikuwa Naibu Kiongozi wa chama hicho cha Liberal, alimshinda mpinzani wake mweka…
1 year, 2 months ago
Nafasi za baraza la waziri za tangazwa: Nani yuko ndani, nani yuko nje?
Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi na…
1 year, 2 months ago
Taarifa ya Habari 9 Mei 2025
Anthony Albanese akosolewa kwa kumshasha cheo waziri pekee Muislamu katika baraza lake la mawaziri, wakati vyama vya upinzani vya ongeza juhudi yaku …
1 year, 2 months ago
Adam Bandt akubali kushindwa, asema chama cha Greens kili feli ku kwea mlima Everest
Adam Bandt amekubali ameshindwa nakupoteza kiti chake cha Melbourne bungeni, katika matokeo ambayo yame acha chama cha Greens bila kiongozi.
1 year, 2 months ago
Taarifa ya Habari 8 Mei 2025
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema mtazamo wa mhula wa pili wa serikali ya Labor, utakuwa kuimarisha mahusiano na washiriki walio ng’ambo, kuhakiki…
1 year, 2 months ago
Betty afunguka kuhusu jinsi yaku badilisha viza yako ukiwa Australia
Wanafunzi wengi wakimataifa wame wasili nchini Australia, kupitia msaada wa mawakala wa uhamiaji.
1 year, 2 months ago
Chama cha Greens cha kabiliana na matokeo yakukatisha moyo katika uchaguzi wa shirikisho
Chama cha Greens kina onekana kuwa na viti vichache zaidi ndani ya nyumba ya chini baada ya matokeo ya uchaguzi wa shirikisho wa wikendi iliyo pita i…
1 year, 2 months ago
Taarifa ya Habari 6 Mei 2025
Anthony Albanese ata anza muhula wake wa pili kama Waziri Mkuu akiwa na serikali ya wengi, baada ya ushindi mkubwa wa chama cha Labor, chama chake ki…
1 year, 2 months ago