Episode Details

Back to Episodes

Nafasi za baraza la waziri za tangazwa: Nani yuko ndani, nani yuko nje?

Published 1 year, 2 months ago
Description
Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi nao katika muhula wake wa pili serikalini.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us