Podcast Episodes

Back to Search
Taarifa ya Habari 1 Agosti 2025

Waziri Mkuu Anthony Albanese ana enda kuhudhuria tukio kubwa linalo waleta pamoja wa Australia wa Asili katika wilaya ya Kaskazini.

11 months, 1 week ago

Short Long
View Episode
SBS Learn Eng Ep 89 Jinsi yakuzungumza kuhusu nyumba yako

Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu nyumba yako?

11 months, 1 week ago

Short Long
View Episode
Jinsi yaku anza biashara yako ya nyumbani nchini Australia

Biashara ya nyumbani inaweza sikika kuwa yakuvutia kwa wengi. Ina punguza gharama, inatoa fursa mbali mbali, inafaa taaluma tofauti, na silazima kazi…

11 months, 1 week ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 31 Julai 2025

Wanafunzi milioni tatu nchini Australia wata punguziwa deni zao za elimu, hii ni baada ya muswada wa Labor ulio tazamiwa sana kupitishwa bungeni hii …

11 months, 1 week ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 29 Julai 2025

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema anaendeleza juhudi zakupunguza shinikizo za gharama ya maisha, akimulika mpango wakupunguza bei za madawa.

11 months, 1 week ago

Short Long
View Episode
Je ni bora kuhudumia mtu mwenye ugonjwa wakusahau nyumbani au la?

Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.

11 months, 1 week ago

Short Long
View Episode
Muthoni "kuna vitu unaweza fanya kupunguza kasi ya ugonjwa wa dementia"

Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.

11 months, 2 weeks ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 25 Julai 2025

Australia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, …

11 months, 2 weeks ago

Short Long
View Episode
Australia Yafafanuliwa: pengo la elimu yawa Australia wa Asili na njia ya mbele

Elimu ni njia yakupata fursa ila, kwa muda mrefu wanafunzi wa Asili nchini Australia, wame kabiliana na vizuizi vya kupata mafanikio.

11 months, 2 weeks ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya Habari 24 Julai 2025

Australia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, …

11 months, 2 weeks ago

Short Long
View Episode

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us