Podcast Episodes

Back to Search
Yaliyojiri Afrika:Uganda yajiandaa kwa uchaguzi mkuu Alhamisi
Yaliyojiri Afrika:Uganda yajiandaa kwa uchaguzi mkuu Alhamisi

Mwanahabari Jason Nyakundi anatujuza yanayoendelea Afrika. Tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili kwa maelezo au habari zaidi.

5 months, 4 weeks ago

Short Long
View Episode
Makala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboni
Makala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboni

Utafiti mpya umebaini kuwa miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi kuliko inavyokua, hali ambayo inachangia ongezeko la utoaji wa kaboni. Utafiti …

5 months, 4 weeks ago

Short Long
View Episode
Makala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?
Makala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?

Mnapofikiria kutazama ndege, labda mnawazia wastaafu. Lakini kizazi kipya kinaanza kutumia darubini na kujihusisha na burudani hii. Kile kilichokuwa …

5 months, 4 weeks ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudi
Taarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudi

**WAZIRI MKUU ANTONY ALBANESE AZINDUA TUME YA KIFALME YA KUCHUNGUZA TUME YA KIFALME YA KUCHUNGUZA KESI ZA CHUKI DHIDI YA WAYAHUDI AUSTRALIA. **MAWIO …

6 months ago

Short Long
View Episode
Yaliyojiri Afrika:kapteni Ibrahim Traore anusurika jaribio jingine la mapinduzi
Yaliyojiri Afrika:kapteni Ibrahim Traore anusurika jaribio jingine la mapinduzi

Kwa habari au maelezo zaidi tembelea sbs.com.au/swahili.

6 months ago

Short Long
View Episode
Afya:wataalamu waonya dhidi ya madhara ya kuchanganya mipango mbalimbali ya lishe
Afya:wataalamu waonya dhidi ya madhara ya kuchanganya mipango mbalimbali ya lishe

Mipango ya lishe kama vile Foodmap, yenye protini nyingi, isiyo na gluten, yenye mafuta kidogo, na kula chakula safi - kuna mipango mingi sana ya lis…

6 months ago

Short Long
View Episode
Makala leo:wazazi wapata afueni baada ya serikali kupunguza gharama za vituo vya malezi ya watoto
Makala leo:wazazi wapata afueni baada ya serikali kupunguza gharama za vituo vya malezi ya watoto

Wazazi wanaopeleka watoto kwenye vituo vya malezi wana uhakika wa kupata ruzuku ya asilimia 90 kwa siku tatu za wiki, bila kupitia mchakato wowote wa…

6 months ago

Short Long
View Episode
Taarifa ya habari:Maduro na mkewe wakanusha mashtaka ya ulanguzi wa dawa za kulevya na silaha jijini New York
Taarifa ya habari:Maduro na mkewe wakanusha mashtaka ya ulanguzi wa dawa za kulevya na silaha jijini New York

** Rais wa Venezuela Nicolas Maduro na mkewe walikana hatia katika mahakama ya Marekani. ** Mtu anayedaiwa kuwa mfyatuliwa wa risasi Bondi amehamishw…

6 months ago

Short Long
View Episode
Yaliyojiri Afrika:Ushahidi mpya waonyesha kuwepo kwa jeshi la Rwanda DRC
Yaliyojiri Afrika:Ushahidi mpya waonyesha kuwepo kwa jeshi la Rwanda DRC

Jason anatujuza yanayojiri pande mbali mbali Afrika, Kwa habari zaidi elekea kwa tovuti yetu sbs.com.au/swahili.

6 months ago

Short Long
View Episode
Yaliyojiri Afrika:Nini kipya mwaka 2026?
Yaliyojiri Afrika:Nini kipya mwaka 2026?

Kwa taarifa zaidi elekea katika mitandao yetu ya kijamii au pia tovuti yetu sbs.com.au/swahili.

6 months ago

Short Long
View Episode

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us