Podcast Episodes
Back to Search
Taarifa ya habari:Wanachama wa National wajiuzulu kufuatia sheria tata za hotuba za chuki
**Polisi wamsaka mtuhumiwa wa mauaji New South Wales ** Waustralia hamsini na tatu wataiwakilisha taifa kwenye Michezo ya Olimpiki **Na tamasha ya mu…
5 months, 2 weeks ago
Makala:Serikali ya Victoria kuendelea na ubomozi wa nyumba za umma licha ya upinzani
Katika wakati wa mgogoro wa makazi na gharama za maisha, serikali ya Victoria iko katika mchakato wa kubomoa minara yote 44 ya makazi ya umma ya Melb…
5 months, 2 weeks ago
Yaliyojiri Afrika:Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kumuua kiongozi wa upinzani Boby Wine
Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
5 months, 2 weeks ago
Taarifa ya habari:Nchi za Ulaya zajiandaa kutetea eneo la Denmark
**Papa waendelea kuwashambulia watu huko Sydney ** Rais Donald Trump aendelea na mchakato wake wa kuchukua Greenland **Soko la Samaki la Sydney sasa …
5 months, 3 weeks ago
Makala leo:Mkakati mpya wa usalama wa maji wazinduliwa
Tangu kuanza kwa kiangazi, watu 33 wamepoteza maisha yao kutokana na kuzama maji huko Australia. Kwa kuwa kuzama maji kunatokea zaidi tangu Janga la …
5 months, 3 weeks ago
Yaliyojiri Afrika:Upinzani wakataa matokeo ya uchaguzi Uganda
Mwanahabari Jason Nyakundi anatujuza yanayoendelea Afrika. Kwa habari ama maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
5 months, 3 weeks ago
Makala leo:jinsi ya kutambua na kuepuka ulaghai wa AI
Utafiti mpya unaonyesha kwamba Waustralia wanaamini kupita kiasi juu ya uwezo wao wa kutambua ulaghai wa AI deepfake, hata teknolojia inavyoendelea k…
5 months, 3 weeks ago
Yaliyojiri Afrika:kura zimeanza kuhesabiwa Uganda licha ya matatizo ya kiufundi hapo awali
Kwa maelezo au habari zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.su/swahili.
5 months, 3 weeks ago
Taarifa ya habari:tume ya kifalme ya kuchunguza hotuba za chuki yakosa uungwaji mkono
** Kikundi cha Kiyahudi kinatoa wito wa mabadiliko na ucheleweshaji wa marekebisho ya hotuba za chuki za serikali... ** Angalau watu watano wameuawa …
5 months, 3 weeks ago
Taarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani
**Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Marekani... **Mlipo wa bomu waua maafisa wa polisi kaskazini mwa Pakistan... **Meta yazua shauku kuhusu Australi…
5 months, 4 weeks ago