Episode Details
Back to Episodes
Taarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani
Published 5 months, 4 weeks ago
Description
**Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Marekani... **Mlipo wa bomu waua maafisa wa polisi kaskazini mwa Pakistan... **Meta yazua shauku kuhusu Australia kuongeza umri wa kutumia mitandao ya kijamii. Kwa habari ama maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.