Podcast Episodes
Back to SearchMatokeo ya Cronulla 2005 yakumbukwa kwa hisia mchanganyiko
Miaka ishirini iliyopita, maelfu walikusanyika kwenye kitongoji cha pwani cha Cronulla huko Sydney, kwa kile kilichogeuka kuwa mkutano wa vurugu dhid…
7 months ago
Wataalamu waonya kuwa msimu wa moto umeanza tunapotarajia joto kuongezeka
Katika wiki za hivi karibuni, moto wa nyika umesababisha uharibifu wa nyumba na mali katika maeneo ya pwani ya katikati ya kaskazini ya New South Wal…
7 months ago
Baraza la usalama wa chakula latoa vidokezo jinsi ya kuandaa vyakula kwa usalama ili kuepukana na magonjwa
Kuna mambo mengi ya kushughulikia wakati huu wa mwaka, na milo yetu inaweza kuja na upande wa magonjwa. Baraza la Habari za Usalama wa Chakula la Aus…
7 months ago
Taarifa ya habari:serikali ya Australia yaomba msamaha rasmi kwa watu wa mataifa ya kwanza leo
Baadhi ya habari zinazojumuisha taarifa yetu leo, *Victoria inatarajiwa kutoa msamaha kwa watu wa mataifa ya kwanza leo *Serikali ya Northern territo…
7 months ago
Yaliyojiri Afrika:mapigano kati ya waasi wa M-23 na jeshi la DRC yaendelea
Jason Nyakundi anatujuza kinachoendelea Afrika. Kwa maelezo zaidi elekea kwa tovuti yetu ya sbs.com.au/swahili.
7 months ago
Wauzaji wajiandaa kwa ongezeko la wizi madukani msimu wa sherehe unapokaribia
Kadri msimu wa ununuzi wa sherehe unapoanza, wauzaji wanajiandaa kwa ongezeko la wizi madukani. Nchini Australia kote, wizi umefikia kiwango cha juu …
7 months ago
Australia kupiga marufuku mitandao ya jamii kwa walio chini ya umri 16
Kuanzia Jumatano wiki hii, Australia itakuwa nchi ya kwanza duniani kupiga marufuku watu walio chini ya umri wa miaka 16 kuwa na akaunti za mitandao …
7 months ago
Taarifa ya habari:Keir Starmer amlaumu Vladimir Putin kwa kifo cha mwanamke mwaka 2018
Kwa taarifa zaidi tunakuelekeza katika tovuti ya sbs.com.au/swahili.
7 months ago
Yaliyojiri Afrika:Rwanda na DRC wamesaini makubaliano ya amani
Jaon Nyakundi anatujuza kinachoendelea Africa.
7 months ago
Mfumo wa kiufundi umeundwa kubadilisha taka kuwa bidhaa zinazoweza kutumika
Nchini Australia, karibu tani milioni 7.6 za chakula zinapotezwa kila mwaka. Mwanzilishi mmoja wa kike ameunda suluhisho ndani ya sanduku.Linapokuja …
7 months ago