Episode Details
Back to Episodes
Makala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?
Published 5 months, 4 weeks ago
Description
Mnapofikiria kutazama ndege, labda mnawazia wastaafu. Lakini kizazi kipya kinaanza kutumia darubini na kujihusisha na burudani hii. Kile kilichokuwa kimbilio kutoka ulimwengu wa mtandaoni sasa kinafufuka tena mtandaoni.