Podcast Episodes
Back to SearchRahab"Serikali imesikia nakuchukulia hatua kilio chetu kuhusu utapeli"
Viongozi wa makampuni na biashara kutoka Kenya wame tua mjini Melbourne kushiriki katika kongamano la biashara.
2 years, 3 months ago
Taarifa ya Habari 12 Machi 2024
Serikali imesema imetupilia mbali kutumia ushuru kuwekeza mfumo wa malezi ya wazee, baada yakutolewa kwa ripoti ya nguvu kazi katika sekta hiyo.
2 years, 3 months ago
Ramadan na Eid ni nini na husherehekewaje Australia
Australia ni nchi yenye tamaduni nyingi na ina idadi kubwa yawa Islamu wengi.
2 years, 3 months ago
Taarifa ya Habari 11 Machi 2024
Polisi wamesema juhudi zakumtafuta mvulana wa miaka 12 katika eneo la magharibi Sydney, zimefika katika hatua muhimu wasiwasi kuhusu ustawi wake ukie…
2 years, 3 months ago
Kotnyin afunguka kuhusu siku ya kimataifa ya wanawake
Serikali ya shirikisho imetoa ripoti yake ya pili ya mwaka kwa hali ya wanawake.
2 years, 4 months ago
Taarifa ya Habari 8 Machi 2024
Serikali ya shirikisho imetoa ripoti yake ya pili ya mwaka kwa hali ya Wanawake, ripoti hiyo inaonesha pengo la malipo ya jinsia iko katika kiwango c…
2 years, 4 months ago
Kukabiliana na habari potofu: jinsi yakutambua na kukabiliana na habari za uongo
Katika zama ambapo habari husafiri kwa kasi ya mwanga, kutofautisha ukweli kwa uongo imekuwa changamoto kubwa.
2 years, 4 months ago
Wanyika afunguka kuhusu maandalizi ya tamasha ya Angélique Kidjo katika Sydney Opera House
Gwiji wa Muziki kutoka Benin Bi Angélique Kidjo ana tarajiwa kuwa na tamasha kubwa ndani ya Sydney Opera House usiku wa Jumatano 6 Machi 2024.
2 years, 4 months ago
Taarifa ya Habari 5 Machi 2024
Anthony Albanese anatarajiwa kuweka wazi sera mpya zakupiga jeki ushiriki wa biashara za Australia, katika ukanda wa Kusini mashariki Asia, kongamano…
2 years, 4 months ago
Wito watolewa katika wiki yakitaifa ya uelewa zaidi wa ugonjwa wa vifaa vyakusafirisha damu ndani ya moyo
Wiki ya tarehe 26 Feb hadi 3 Machi, ni wiki yakutoa uelewa wa ugonjwa wa moyo na kifaa kinacho tumiwa kusafirisha hewa au damu moyoni.
2 years, 4 months ago