Podcast Episodes
Back to Search
Taarifa ya Habari: Mamilioni ya Waustralia kuamka kesho Julai 1 kwa mishahara ya juu na kodi ya chini ya mapato
Bei ya petroli imeshuka hadi viwango ambavyo havijaonekana tangu mwanzo wa 2022. Taasisi ya Petroli ya Australia inasema wastani wa kitaifa wa lita m…
1 week, 3 days ago
Wajerumani na Waholanzi watupwa nje ya Kombe la Dunia 2026
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju…
1 week, 3 days ago
Australia Yafafanuliwa: Jinsi yakujiunga na soka jumuishi nchini Australia
Sio kutia chumvi tunaposikia kwamba Kombe la Dunia la FIFA lina tarajiwa kuleta dunia pamoja katika mwezi wa Juni. Baada ya yote, mpira wa miguu unaj…
1 week, 3 days ago
Taarifa ya Habari: Mkuu wa jeshi azuia shughuli za Nation Media Group nchini Uganda
Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.
1 week, 4 days ago
Baranga"nakaribisha wanaume wote katika kongamano maalum, tujadili maswala muhimu kwetu"
Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.
1 week, 6 days ago
Taarifa ya Habari:"Sheria tata za mageuzi ya kodi zitawafaidi watu wengi" asema Mweka Hazina wa Shirikisho
Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers anasema wafanyakazi, wanunuzi wa nyumba za kwanza na vizazi vijavyo watafaidika na sheria zenye utata za mage…
2 weeks ago
Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi kati…
2 weeks ago
Australia Yafafanuliwa:Bendera ya watu wa Visiwa vya Torres Strait:Ardhi,Bahari na Watu
Nchini Australia, unaweza ona bendera tatu zikipeperushwa pamoja: Bendera ya Taifa ya Australia, Bendera ya Waaborijini na Bendera ya Watu wa visiwa …
2 weeks ago
Taarifa ya Habari:Maelfu wahofiwa wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi katika mji mkuu wa Venezuela
Hali ya dharura ime anza kutumika nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi, yaliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Caracas, na kuu…
2 weeks, 1 day ago
Can nature help tackle loneliness? - SBS Examines: Je, mazingira ya asili yanaweza kabili upweke?
In a recent study of LGBTQIA+ asylum seekers and refugees, nature was used not just as a meeting place, but as an environment where participants felt…
2 weeks, 2 days ago