Episode Details

Back to Episodes
Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi

Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi

Published 2 weeks ago
Description
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us