Podcast Episodes
Back to SearchTaarifa ya Habari 13 Februari 2024
Serikali ya shirikisho iko katika hatari yaku kosa kuungwa mkono kwa sera yake muhimu ya nyumba.
2 years, 4 months ago
Vincent afunguka kuhusu sekta ya ucheshi Australia
Idadi ya wacheshi wenye asili ya Afrika ina endelea kuongezeka nchini Australia.
2 years, 4 months ago
Taarifa ya Habari 9 Februari 2024
Uchambuzi mpya wa shirika la Regional Australia Institute umepata kuwa bei za nyumba katika maeneo ya kanda, zina fika viwango vya juu nakukaribia be…
2 years, 5 months ago
Ni mbinu ipi bora ya kutokomeza ukeketaji
Mashirika mbali mbali yana endelea kuongeza juhudi kutokomeza ukeketaji, pamoja nakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.
2 years, 5 months ago
Taarifa ya Habari 8 Februari 2024
Waziri Mkuu wa Papua New Guinea James Marape, ame hotubia bunge la Australia.
2 years, 5 months ago
Saada afunguka kuhusu umuhimu wakutokomeza ukeketaji
Februari 6 ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji, mashirika na mamlaka mbali mbali huandaa hafla zakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.
2 years, 5 months ago
Taarifa ya Habari 6 Februari 2024
Waziri Mkuu amekosoa upinzani kwa kufeli kuwa na msimamo kwa pendekezo lake la awamu ya tatu ya makato ya kodi, wakati vikao vya bunge la shirikisho …
2 years, 5 months ago
Wanaume wakaribishwa kuchangia chakula na kutafuta suluhu za changamoto zao
Ni nadra kupata kundi linalo shughulikia maswala ambayo huwakabili wanaume nchini Australia.
2 years, 5 months ago
Taarifa ya Habari 2 Februari 2024
Australia itatuma wajumbe New Zealand kujadili uwezekano wa ushirika wakijeshi katika muungano wa AUKUS.
2 years, 5 months ago
Idadi yawa Australia wanao kosa kuwaona ma GP yaongezeka kwa sababu ya gharama kubwa za miadi
Wakati mfumo wa huduma ya afya kwa wote ya Australia Medicare ina sherehekea miaka 40, data mpya imeonesha kuwa wagonjwa wana endelea kuepuka kuwaona…
2 years, 5 months ago