Episode Details
Back to Episodes
Mbappé aiweka Ufaransa katika nusu fainali
Published 11 hours ago
Description
Ufaransa imetinga nusu fainali ya Kombe la Dunia, baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Morocco. Kylian Mbappé amefunga mabao nane sawa na Lionel Messi, wakati Ousmane Dembélé akikamilisha ushindi huo.