Episode Details

Back to Episodes
Mbappé aiweka Ufaransa katika nusu fainali

Mbappé aiweka Ufaransa katika nusu fainali

Published 11 hours ago
Description
Ufaransa imetinga nusu fainali ya Kombe la Dunia, baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Morocco. Kylian Mbappé amefunga mabao nane sawa na Lionel Messi, wakati Ousmane Dembélé akikamilisha ushindi huo.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us