Episode Details
Back to Episodes
Uhispania na Ubelgiji za tinga robo fainali wakati Ronaldo aaga Kombe la Dunia
Published 3 days, 11 hours ago
Description
Uhispania na Ubelgiji zimefuzu kwa robo fainali, wakati ndoto za Kombe la Dunia za wenyeji Marekani na Ureno ya Cristiano Ronaldo ziki gonga miamba.