Episode Details
Back to Episodes
'Elimu kama chombo cha matumaini': Mwanafunzi mkimbizi Alina kuhusu kujenga upya maisha yake nchini Australia
Published 1 week ago
Description
Wanafunzi wakimbizi wanajenga upya maisha yao nchini Australia kupitia mpango mpya wa majaribio ya makazi, unaounganisha masomo yao ya chuo kikuu na viwanda ambapo kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi kama vile uuguzi.