Episode Details
Back to Episodes
Mshtuko wa Kombe la Dunia: Uhispania yapigwa breki na Cabo Verde
Published 3 weeks, 3 days ago
Description
Mshtuko wa kwanza mkubwa wa Kombe la Dunia la FIFA umeshuhudiwa, baada ya timu ambayo inadhaniwa ina nafasi kubwa yakushinda michuano hiyo, kunyimwa ushindi na Cabo Verde wanao shiriki katika michuano hiyo kwa mara yao ya kwanza.