Episode Details

Back to Episodes
Mshtuko wa Kombe la Dunia: Uhispania yapigwa breki na Cabo Verde

Mshtuko wa Kombe la Dunia: Uhispania yapigwa breki na Cabo Verde

Published 3 weeks, 3 days ago
Description
Mshtuko wa kwanza mkubwa wa Kombe la Dunia la FIFA umeshuhudiwa, baada ya timu ambayo inadhaniwa ina nafasi kubwa yakushinda michuano hiyo, kunyimwa ushindi na Cabo Verde wanao shiriki katika michuano hiyo kwa mara yao ya kwanza.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us