Episode Details
Back to Episodes
Ujerumani wafanya unyama, Japan na Uholanzi ziki ng'ang'ania alama moja
Published 3 weeks, 4 days ago
Description
Ujerumani umeanza vyema kampeni yao ya Kombe la Dunia la 2026, ikiwashinda Curaçao inayo shiriki katika michuano hiyo kwa mara ya kwanza kwa mabao 7-1 katika Kundi E katika Uwanja wa Houston, Marekani.