Episode Details

Back to Episodes
Taarifa ya Habari: Wagonjwa wa Ebola waanza kupona DR Congo

Taarifa ya Habari: Wagonjwa wa Ebola waanza kupona DR Congo

Published 1 month, 1 week ago
Description
Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) lilisema kwenye taarifa yake ya Jumapili (Mei 31) kwamba, wagonjwa wengine zaidi wa Ebola wanatazamiwa kupona, hasa pale ugunduzi na matibabu yanapoanza mapema, wakati juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo hatari zikiongezeka.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us