Episode Details
Back to Episodes
Taarifa ya Habari: Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi Afrika Kusini
Published 1 month, 3 weeks ago
Description
Serikali ya Ghana imetangaza kuwa itawarudisha raia wake 300-wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia ongezeko la visa vya wageni kushambuliwa.