Episode Details
Back to Episodes
Makala leo: Waombolezaji wa Kitaalamu wa Kenya walipwa kulia
Published 2 months, 2 weeks ago
Description
Unawezaje hakikisha kwamba msiba uta hudhuriwa na watu wengi? Baada ya yote, jambo la mwisho unalotaka kutokea unapo aga dunia... ni kuondoka bila shamra shamra yoyote.