Episode Details
Back to Episodes
Taarifa ya Habari: 13 wauawa katika milipuko Burundi
Published 3 months, 1 week ago
Description
Ushuru wa petroli unatarajiwa kupunguzwa zaidi, wakati viongozi wa majimbo na wilaya wakikubaliana kuhusu mpango wa kurejesha mapato ya ziada ya ushuru wa bidhaa na huduma kutokana na kupanda kwa bei za mafuta.