Episode Details
Back to Episodes
Taarifa ya Habari: Jamii yawa Islamu nchini katika hali ya tahadhari kubwa
Published 4 months, 3 weeks ago
Description
Ripoti mpya ya kiuchumi inaonya Australia ina elekea kupoteza hadhi yake, kama taifa lenye deni la chini, huku mikopo ya serikali ikifikia viwango ambavyo havija onekana tangu vita vya pili vya dunia.