Episode Details

Back to Episodes
Taarifa ya habari:Marekani yavamia Venezuela na kumkamata rais Maduro na mkewe

Taarifa ya habari:Marekani yavamia Venezuela na kumkamata rais Maduro na mkewe

Published 6 months ago
Description
Rais wa Marekani Donald Trump ameamuru shambulio kubwa dhidi ya Venezuela kuwakamata Rais wa Venezuela Nicolás Maduro na mke wake. Wametuhumiwa na makosa ya dawa za kulevya na silaha huko New York. Hatua hiyo imepongezwa na washirika wa Bw. Trump, lakini imelaaniwa sana na mataifa mengi.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us