Episode Details

Back to Episodes
Makala leo:China yaongeza ushuru kwa bidhaa za nyama ya ng'ombe

Makala leo:China yaongeza ushuru kwa bidhaa za nyama ya ng'ombe

Published 6 months ago
Description
Biashara ya nyama ya ng'ombe ya dola bilioni ya Australia inakabiliwa na mabadiliko makubwa kutokana na hatua ya China kuweka ushuru wa asilimia Hamsini na tano kwa uingizaji wa bidhaa zinazozidi vikomo vya kila mwaka vilivyowekwa kwa ukali. Wakati serikali ya China inadai kuwa hatua hiyo inalenga kuwalinda wakulima wake dhidi ya usambazaji usiokuwa na kipimo, viongozi wa sekta ya Australia na Upinzani Mkuu wanatoa onyo kuwa nyongeza hii ya ushuru inakiuka makubaliano ya biashara huru baina ya Australia na Chini ya muda mrefu.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us