Episode Details

Back to Episodes
Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia

Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia

Published 7 months ago
Description
Utawala wa mamlaka ya uhamiaji wa Australia unachunguzwa na Umoja wa Mataifa wiki hii. Kikundi Kazi cha U-N juu ya Kuzuia Kiholela uhuru kinachunguza jinsi nchi hiyo inavyonyima watu uhuru wao - kutoka magereza hadi vituo vya vizuizi vya nje ya mipaka. Na kwa watu kama Muhammad, ambaye alizuiliwa kwa miaka sita, uchunguzi huu ni kitu kilichochelewa kwa muda mrefu.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us