Episode Details

Back to Episodes
Jinsi utovu wa sheria Israel unaathiri wakulima wa Palestine

Jinsi utovu wa sheria Israel unaathiri wakulima wa Palestine

Published 7 months, 1 week ago
Description
Kwa mtengenezaji wa mvinyo wa Kipalestina kutoka Australia, Sari Kassis, ukweli wa kilimo katika Ukingo wa Magharibi ni hali ya hatari ya kila wakati, kimwili na kiakili. Kwa kuongezeka kwa vurugu za walowezi katika Ukingo wa Magharibi, mavuno ya mwaka huu yameona idadi ya juu zaidi ya mashambulizi ya Waisraeli kwenye mashamba na mali.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us