Episode Details

Back to Episodes
Australia yafafanuliwa: wanafunzi wa kimataifa waonywa dhidi ya utapeli

Australia yafafanuliwa: wanafunzi wa kimataifa waonywa dhidi ya utapeli

Published 7 months, 2 weeks ago
Description
Onyo la dharura limetolewa kwa wanafunzi wa kimataifa wanaoondoka Australia wasiuze akaunti zao za benki na vitambulisho kwa wahalifu. Polisi ya Shirikisho ya Australia inasema kwamba wanafunzi wanapewa 'pesa ya haraka' - lakini kukubali ofa kama hiyo kunaweza kuwahusisha milele na mitandao ya uhalifu.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us