Episode Details

Back to Episodes
Maandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyika

Maandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyika

Published 7 months, 3 weeks ago
Description
Maandamano ya neo-Nazi mbele ya bunge la New South Wales yamezua mshtuko katika jamii za Kiyahudi na za tamaduni mbalimbali huko Sydney. Serikali ya jimbo hilo imekashifiwa baada ya kufichuliwa kwamba tukio hilo liliendelea na idhini kutoka kwa Polisi wa New South Wales. Je, ni vipi maandamano haya ya neo-Nazi yalipewa kibali cha kufanyika mwanzoni?
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us