Episode Details

Back to Episodes

Tafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole

Published 1 year, 1 month ago
Description
Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us