Episode Details
Back to EpisodesTafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole
Published 1 year, 1 month ago
Description
Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.