Episode Details
Back to EpisodesTaarifa ya Habari 25 Machi 2025
Published 1 year, 3 months ago
Description
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Richard Marles, amesema kutakuwa uwekezaji wa ziada katika idara ya Ulinzi wa dola bilioni 1 katika bajeti itakayo tangazwa usiku wa leo Jumanne Machi 25.