Episode Details

Back to Episodes

Wangeci "katika hii nchi wanathamini sana watu wenye ujuzi wa kazi za mikono"

Published 1 year, 4 months ago
Description
Wangeci Kones alikuja Australia akiwa na matumaini yakutumia shahada yake ya masoko, katika kazi sawia na alivyo kuwa akifanya nchini Kenya.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us