Episode Details
Back to EpisodesWangeci "katika hii nchi wanathamini sana watu wenye ujuzi wa kazi za mikono"
Published 1 year, 4 months ago
Description
Wangeci Kones alikuja Australia akiwa na matumaini yakutumia shahada yake ya masoko, katika kazi sawia na alivyo kuwa akifanya nchini Kenya.