Episode Details
Back to EpisodesBw Omari "watu wana anza sema wakati wa Kabila ulikuwa afadhali kuliko sasa"
Published 1 year, 5 months ago
Description
Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.