Episode Details

Back to Episodes

Ongezeko ya gharama ya shule yalazimisha baadhi ya familia kufanya maamuzi magumu

Published 1 year, 5 months ago
Description
Mwaka wa shule wa 2025 uli anza Jummanne 28 Januari katika majimbo ya Queensland na Kusini Australia, wanafunzi wa shule za msingi na upili walirejea shuleni Jumatano 29 Januari katika jimbo la Victoria na Wilaya ya Kaskazini.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us