Episode Details

Back to Episodes

Jeshi la polisi la Kenya lakanusha kuhusika na utekaji wa wakosoaji wa serikali

Published 1 year, 6 months ago
Description
Jeshi la polisi Kenya limekanusha kuhusika na visa vya karibuni vya utekaji unaowalenga wakosoaji wa serikali. Watu 74 walitekwa tangu maandamano ya kuipinga serikali, huku 26 wakiwa bado hawajulikani waliko.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us