Episode Details
Back to EpisodesTaarifa ya Habari 1 Novemba 2024
Published 1 year, 8 months ago
Description
Serikali imethibitisha kuwa inashikilia mafao ya Medicare ambayo hayaja daiwa yenye thamani yama milioni ya dola, kwa sababu wagonjwa hawajatoa taarifa zao za benki ili wapokee hela hizo.