Episode Details

Back to Episodes

Upinzani watishia maandamano iwapo wanachama wao hawata achiwa huru Tanzania

Published 1 year, 9 months ago
Description
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimetishia kuanzisha maandamano makubwa zaidi, tangazo linalokuja baada ya kutuhumu mamlaka kwenye taifa la Afrika Mashariki kwa kuwauua na kuwateka wanachama wake.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us