Episode Details

Back to Episodes

Mali yaishtumu Ukraine kwa kuhusika katika shambulio nchini humo

Published 1 year, 10 months ago
Description
Mgogoro wakidiplomasia ume zuka kati ya Mali na Ukraine baada ya viongozi wa taifa hilo la Magharibi Afrika, kuishtumu taifa hiyo ya Mashariki ya Ulaya kuhusika katika shambulio nchini humo.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us