Episode Details
Back to EpisodesTaarifa ya Habari 8 Agosti 2024
Published 1 year, 11 months ago
Description
Wafanyakazi wa huduma ya malezi ya watoto kote nchini Australia, wana tarajiwa kuongezewa mishahara, iwapo sehemu zao za kazi zita kubali kuto ongeza ada kwa zaidi ya asilimia 4.4 katika mwaka ujao.