Episode Details
Back to EpisodesVita vya Australia vilikuwa vipi na kwa nini historia haija vitambua?
Published 2 years, 1 month ago
Description
The Frontier Wars ni neno linalo tumiwa kuelezea zaidi ya miaka 100 ya migogoro ya vurugu kati ya wakoloni nawatu wa asili wa Australia, vilivyo tokea wakati wangereza walikuwa wakianza kuishi Australia.