Episode Details

Back to Episodes

Viongozi wadini, Waziri Mkuu waomba uwepo wa heshima na maelewano katika jamii

Published 2 years, 2 months ago
Description
Viongozi kutoka jumuiya za wayahudi, waislamu na wakristo mjini Sydney wame kemea kwa pamoja vurugu na maneno yakugawanya ambayo yame ibuka kufuatia matukio mawili ya shambulizi ya visu mjini Sydney.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us